Niliposikiliza kipindi cha michezo radio one stereo jumamosi, nilipata habari mbili zinazo leta mkanganyiko wa aina yake. Mrisho anasema hajui chochote. Rage anasema Ngasa anajua kila kitu. Hivi haya ni mazingaombwe au mchezo wa kuigiza?
Mimi hapo sijui tunaendeleza soka au tunadidimiza?
Tuesday, December 18, 2012
Thursday, December 13, 2012
LA MASIA -BARCELONA
Mafanikio yoyote hayaji kwa kukaa tu, au kutaka vitu rahisi. Watu wa ulaya wamejifunza maendeleo kuipitia nidhamu, bidii, utafiti elimu na uwekezaji. Tanzania tujifunze Barcelona. Barcelona wana timu za watoto katika umri mbalimbali (miaka 6 hadi 17). TFF iwekeze zaidi katika programu za watoto na vijana.
Subscribe to:
Posts (Atom)