Mafanikio yoyote hayaji kwa kukaa tu, au kutaka vitu rahisi. Watu wa ulaya wamejifunza maendeleo kuipitia nidhamu, bidii, utafiti elimu na uwekezaji. Tanzania tujifunze Barcelona. Barcelona wana timu za watoto katika umri mbalimbali (miaka 6 hadi 17). TFF iwekeze zaidi katika programu za watoto na vijana.
No comments:
Post a Comment